Quantcast
Channel: kifltd » BIASHARA
Viewing all 271 articles
Browse latest View live

Mtupiye macho Wolper Gamba aka Jack akiwa katika pozi usiku huu ..!

$
0
0


Wolper Gambe katika pozi

“Silewi na si mpenzi wa vileo lakini napenda muziki sana jina langu limetokana na muziki ambao naupenda sana ndio maana kwa sasa najiita Wolper Gambe ukiniita Wolper Gambe umefurahisha nafsi yangu kiukweli, watu wajua eti Gambe ni pombe hapana hizo ni swaga tu za sisi vijana, kitu kingine ninachopenda ni kumiliki gari nzuri,”anasema Wolper.

Aidha mwigizaji huyo alivyoulizwa kuhusu gharama ya gari yake mpya ya Mini Cooper alisema kuwa gari yake ni gharama kubwa lakini si rahisi kuitaja hadharani wakati kuna watu wana shida hawawezi hata kumiliki fedha ya kununulia chakula kidogo tu, msanii huyo ndio mwanamke pekee ambaye amekuwa akimiliki magari ya thamani kwa nyakati tofauti tofauti.Chanzo:Mussa Matejablog



NIYONZIMA ASAINI YANGA MIAKA 2…

$
0
0

Haruna Niyonzima (kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) wakati akitambulishwa kwao leo. Pembeni ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Yanga, Abdallah Bin Kreb.Chanzo:www.globalpublishers.info


“NILIJIUNGA CHADEMA ILI NISAIDIE HARAKATI ZA UKOMBOZI WA TANZANIA NA SINA MPANGO WA KUGOMBE UBUNGE”… PROFESA JAY

$
0
0

 

 

 

 

Mchawi wa rhymes, Profesa Jay amesema hakujiunga na CHADEMA ili mwaka 2015 awanie ubunge kama wengi wanavyodhani.

 

 

 


 

 

 

 

 

 

 

 

Rapper huyo wa ‘Machozi, Jacho na Damu’ ambaye jina lake halisi ni Joseph Haule, ameliambia gazeti la Mwananchi la leo kuwa amejiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ili kukisaidia chama katika changamoto za kuikomboa nchi.

 

 

 

“Kujiunga na siasa si dhambi na haina maana kwamba nina mpango wa kugombea jimbo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Sihitaji kugombea hata udiwani ila ni kwa dhumuni la kutaka kuongeza nguvu katika chama ili kuyafikia malengo,” ameliambia gazeti hilo.

 

 

 

Ameliambia kuwa yeye ni mfuasi wa Chadema tangu mwaka 2005 na amekuwa karibu na chama kwa nyakati nyingi lakini kwa sasa ameamua kuingia rasmi katika chama kama chachu katika kuongeza harakati kwa vijana.

 

 

 

“Nimeingia ili nisaidie hiki chama kuikomboa Tanzania kwani kwa muda mrefu niliokaa katika chama hiki nimegundua kuwa wamedhamiria kumkomboa msanii, kijana wa kawaida na wakubwa kwa wadogo hivyo nadhani nipo sahihi katika uamuzi wangu.”

 

BLA_EUCCQAEHZCc

“Natambua mimi ni mwanamuziki, sawa nina mashabiki wengi lakini haina maana kwamba sina haki ya kuchagua chama ninachoona mimi kinanifaa, lakini siwezi kusita kufanya kazi sehemu yoyote au wakati wowote chama kikinitaka nifanye kwa wakati husika,” alisema Profesa J


THE 50th ANNIVERSARY OF THE FOUNDING OF THE AU FORMERLY THE OAU

$
0
0

HOW FAR IS THE UNITED STATES OF AFRICA?
Dr. Motsoko Pheko
The 50th anniversary of the African Union (AU), the successor to the African Organisation of African Unity (OAU) is upon the African people this 25th May 2013. Both Organisations were formed with the main objective of ultimately bringing about the United States of Africa.
Why was there to be a United States of Africa? Let me remind by quoting three African leaders on this important subject of deep concern to Pan Africanists. Dr. Kwame Nkrumah, the first President of Ghana wrote, “If we [Africa’s people], are to remain free, if we are to enjoy the full benefit of Africa’s resources, we must be united to plan for our total defence and the full exploitation of our material and human means in the full interest of all our people. To go it alone will limit our horizons, curtail our expectations and threaten our liberty.”
In the southern tip of Africa, Prof. Mangaliso Robert Sobukwe, that most feared leader by the apartheid colonialist regime in South Africa who was imprisoned on Robben Island without even a mock trial and a special law, called “Sobukwe Clause” made to silence him for his Pan Africanist outlook in politics, until he died, said in April 1959:
“We regard it as the sacred duty of every African state to strive ceaselessly and energetically for the creation of a United States of Africa from Cape to Cairo and Madagascar to Morocco. The days of small independent countries are gone. Today we have, on one hand, great powerful countries of the world. America and Russia cover huge tracts of land territorially and number millions of population. On the other hand [European] small weak independent countries are beginning to form military and economic federations hence NATO and the European Economic Common Market.”

 

This Pan Africanist visionary concluded, “For the lasting peace of Africa and the solution of economic, social and political problems of the continent, there must be a democratic principle. This means that foreign domination under whatever disguise must be destroyed.”
How justified are the above statements by Nkrumah and Sobukwe today? In July 2OO8, Pope Benedict XVI spoke the truth that has been hidden in Western countries from the world for centuries. The Pope said, “Our Western way of life has stripped Africa’s people of their riches and continues to strip them.” Corroborating this fact, a Member of the Scottish Parliament, Mark Ballad, declared, “Our relation with Africa is an exploitative one. The West no longer needs standing armies to strip Africa of its resources, because it can do it more effectively with multi-national companies.”
After his initial doubts about the absolute importance of a United States of Africa, Mwalimu Julius Nyerere, first President of Tanzania proclaimed, “There is no time to waste. We must either unite now or perish. Political independence is only a prelude to a new and more involved struggle for the right to conduct our economic and social affairs, to construct our economic and social affairs, unhampered by crushing humiliating control and interference.”
Informed institutions and learned people outside Africa affirm that the economic power of Africa depends on a United States of Africa. According to the 2006 World Bank Data, if Africa was then a single country, it would have had a total gross income of nine hundred and seventy eight American billion dollars.

 

In his book, AFRICA RISING Prof. Vijay Mahajan, former dean of the Indian School of Business at the University of Texas in America has written that the figure of $978 billion for Africa would have placed Africa ahead of India as a total market. He points out that a United States of Africa would show up as the tenth top economy in the world. Only the economies of America, Japan, Germany, Britain, China, France, Italy, Spain and Canada would top Africa. A United States of Africa economy would top that of India which was $906.5 billion in 2006, that of Brazil which was $892.28 billion, Republic of Korea which was $856.6 billion, Russian Federation which was $822.4 billion and Mexico which was $820.3 billion.
This is not surprising to those who are knowledgeable about the enormous

riches of Africa which as Pope Benedict XVI and other justice-loving people have observed, do not benefit Africans at present. Indeed, it was not a joke when Nkrumah told the founders of the OAU that long time ago that, “We are today the richest of the continents and yet the poorest of continents. But in unity, our continent could begin to smile in a new era of prosperity and power.”
The West has fed Africa with the myth and poison of “Aid.” African leaders have developed a sickening dependency syndrome on this “Aid.” This “Aid” comes from people who are getting their own riches from Africa. This so-called “Aid” to Africa is in fact, a form of the disease called AIDS. It is indeed, the economic Acquired Immune Deficiency Syndrome inflicted on Africa under the cover of curing its African people of it. This incurable disease is sinking Africa deeper and deeper into “foreign debts” that compromise African governments and force them to focus on “Aid” from their former colonial masters who under developed Africa through slavery and colonialism in the first instance.

 

Africans must not present themselves to the West in particular, as if they are bankrupt debtors with nothing to put on the international table. The West could not have produced its nuclear weapons without Africa’s uranium. Their cars would run dry without oil from Africa. All their industries would grind to a halt. It is Africa’s exploited raw materials by them, especially minerals that give these supposed “AID givers” their riches and their Western “first world economy.”
Hear this directly from the horse’s mouth. It is just one example from one of the African countries. Not long ago, an American Senator Jesse Helms reminded his people. “South Africa is the source of over 80% of American mineral supply and 86% of Platinum resources….South Africa has 96% of the world’s chrome reserves. As you know, there is no substitute for chrome in our military and industrial manufacturing. Without South African chrome, no engines for modern jet aircraft, cruise missiles or armaments could be built. The United States would be grounded. Our military would be unarmed. Without South African chrome, surgical equipment and utensils could not be produced. Our hospitals and doctors would be helpless.”
Africa has subsidised the economies of Western Europe and America for centuries through its riches and labour at gunpoint. Even in their war against Adolf Hitler, Africa’s riches were simply seized and used in the interest of Europe. The Colonial Secretary of the Belgian government in exile, Godding boasting about this, said “During the war, the Congo was able to finance all the expenditure of the Belgian government in exile in London, including the diplomatic service as well as the cost of armed forces in Europe and America…the Belgian gold reserve could be left intact.”
It is this kind of criminal exploitation and looting of African resources by imperialists that Pan Africanist leaders such as Nkrumah, Lumumba and Sobukwe wanted destroyed. It is dehumanising Africans. No single African country can stop this vile system of economic exploitation of Africa alone. All African countries must stand up together and destroy it. It affects them all. Africa is a house with 54 rooms in it.
When one room catches fire, other rooms are endangered. The problem of Mali, the problem of Somalia, the problem of DRC, the problem of Central African Republic – the problem of any African country is the problem of Africa. It is the problem of brothers and sisters. It is the problem of the African family. You can’t ignore it without being the next to be injured in imperialist agendas such as “regime change,” withdrawal of Western “Aid” or imposition of economic sanctions.
The truth is that when Africans were enslaved or colonised or discriminated against because of their black colour, the perpetrators of these barbaric acts never cared whether you are Congolese, Nigerian, Ghanaian, Azanian, Malawian, Zimbabwean, Motswana, South African or Swazi; they just inflected their atrocities, whether in Jamaica or America. To not act Pan Africanly is African national suicide.
Why is the African Union failing on the main objective for which it was founded? The United States of Africa cannot be brought about by leaders who are not Pan Africanists. The propeller of the United States of Africa is Pan Africanism. The United States of Africa was a Pan African vision. This vision began many years ago, but was formalised in 1900 in the Diaspora through Pan Africanists such as Henry Williams Sylvester.
It is Pan Africanism that from its 5th Pan African Congress in 1945, intensified Africa’s independence movement that destroyed classical colonialism in Africa. It is this Pan Africanism that must now destroy neo-colonialism, the last stage of imperialism. The essence of neo-colonialism is that the State which is subordinated to a foreign imperialist power has all the outward trappings of international sovereignty. But in reality its economy and foreign policy are controlled by foreign powers. The value of such a State lies in being used to create new economic, social and cultural conditions for its former colonial master. Genuine national independence is more than just flying a country’s flag, having a parliament and a President.
How many such states are members of the African Union? How did some member states of the African Union vote in the Security Council in 2011 for a Resolution that led to the death of Muammar Gaddafi? Libya is today the most bombed African country by NATO and America in their bid to access and control Libyan oil wealth for their own countries.
Of course, leaders who are rulers of South Africa long denounced Africanism and Pan Africanism as “anti-white” and “racist.” This was in 1955 when white neo-liberals of the pseudo-communist brand imposed on the ANC what they called the “Freedom Charter.” This programme cheated the dispossessed Africans on the return of their land. Today, South Africa is a “two nations” syndrome, one extremely rich and white minority and the other extremely poor and 80 % African majority.
With regard to the African Union, there are many people who now perceive South Africa as “a sub-imperialist” agent serving the interests of former colonial countries than those of Africa. Statements by its President such as a “decisive intervention” and a “Standby Force,” on the Continent does not allay fears that this is not the American “Africom” under cover to protect the continued Western looting of African raw materials, especially minerals.
This does great harm to the African Union and will hinder its mission to bring about a United States of Africa. The African Union should not have members that hunt with the hunters, but run with the rabbit and making sure that the rabbit is not caught. There has been too much suffering by Africans for their leaders to be untrustworthy in serving African interests truthfully. In South Africa, there are still colonial and apartheid public holidays. But May 25 – Africa Liberation Day, for which the whole Continent sweated blood, there is no room. It is not a statutory public day here. Time does not allow me to continue.
Let me close by reminding all Sons and Daughters of Africa, this 50th anniversary of the African Union, the words of that shining star of Pan Africanism, Kwame Nkrumah. A day before the 25th May 1963, he addressed African Heads of State and Government on the formation of the OAU, the predecessor of African Union.
He declared, “No sporadic act or pious resolutions, can resolve our present problems….As a continent we have emerged into independence in a difficult age with imperialism grown stronger, more ruthless and experienced, and more dangerous in its international associations. Our economic advancement demands the end of colonial and neo-colonial domination of Africa.” END
Dr. Motsoko Pheko is author of The Hidden Side Of South African Politics, Towards Africa’s Authentic Liberation and Land Is Money And Power. He is a former Member of the South African Parliament as well as former Representative of the victims of apartheid and colonialism at the United Nations in New York and at the Un Commission on Human Rights in Geneva.


President Kagame receives UN Secretary General, Ban Ki-Moon and World Bank President, Dr. Jim Yong Kim

$
0
0

 

 

 

President Kagame today received UN Secretary General, Ban Ki-Moon and the President of the World Bank, Jim Yong Kim who are in Rwanda as part of a joint regional mission to Mozambique, DRC, Uganda and Ethiopia to support efforts to build peace, stability and development particularly in the Great Lakes Region.
 
President Kagame receives UN Secretary General, Ban Ki-Moon and World Bank President, Dr. Jim Yong Kim
President Kagame receives UN Secretary General, Ban Ki-Moon and World Bank President, Dr. Jim Yong Kim
 
UN Secretary General and the World Bank President visited and toured a project of the Rwanda Demobilisation and Reintegration Commission, laid wreaths at the Kigali Genocide Memorial Centre and laid a foundation stone for a new Centre for Excellence to fight violence against girls and women in conflict situations at the headquarters of the Rwanda National Police.
 
At official talks held at Urugwiro Village, where they were joined by senior Rwandan Government officials, President Kagame thanked Secretary General Mr. Ban Ki Moon for creating the partnership that Rwanda fully supported and for creating the peace framework which forms the basis of renewed commitment and efforts toward stability and progress. 
 
He also thanked the World Bank President for being a partner in creating peace, security development saying that this joint visit meant a lot to Rwanda and the region.
 
Secretary General Ban Ki-moon expressed admiration for President Kagame’s leadership and strong commitment not only in the region but to development and prosperity in Rwanda, especially in meeting the Millennium Development Goals:
 

 


RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA MFUMO WA MATOKEO MAKUBWA ‘SASA’ AWAMU YA KWANZA

$
0
0

MISS GEITA 2013 KUFANYIKA JUNI MOSI MWAKA HUU

$
0
0

Baadhi ya warembo waliokutwa katika mazoezi ya kushiriki taji la Miss Geita 2013.

Na Salum Maige, Geita
24. 05. 2013
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mrembo wa kwanza wa mkoa wa Geita  “Miss Geita 2013’’ kimeanza huku warembo 16 kutoka katika maeneo mbalimbali ya wilaya za mkoa huo wakiwa wamejitokeza kushiriki mashindano hayo.
Mwandaaji wa mashindano hayo, Miriam Gabriel, ambaye ni mkurugenzi wa kampuni ya RedRose and General Supply amesema maadalizi ya shindano hilo yanaenda vizuri kutokana na mwitikio wa wadau wa mashindano hayo na kwamba uzinduzi wake utafanyika Jumamosi ya wiki hii na viongozi mbalimbali wa serikali, wafanyabiashara na wakulima watashiriki katika uzinduzi huo.
Alisema warembo hao wapo kambini katika Hoteli ya Katoma Hill  mjini Geita tangu Mei 20, mwaka huu wakifanya mazoezi ya kuwania Taji la Miss Geita mwaka 2013 ambaye atashiriki mashindano ya kumtafuta Miss Kanda ya Ziwa mwaka huu.
Kwa mujibu wa Mirian Gabriel ni kwamba shindano hilo linatarajia kufanyika juni Mosi, mwaka huu katika ukumbi wa Disire na mgeni Rasmi atakuwa mkuu wa mkoa wa Geita Said Magalula huku wasanii mbalimbali wa Muziki wakiwemo Bob Haiza na Binti Madaha wakitumbuiza shindano hilo.
Alisema shindano hilo linadhaminiwa na Benki ya CRDB, Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo, Katoma Hill Hotel, Disire Pup na Gambo Hotel

 


RAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA MAONYESHO YA MFUMO WA MATOKEO MAKUBWA ‘SASA’ AWAMU YA KWANZA

$
0
0

9Rais Jakaya Kikwete, Makamu wake Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakisikiliza maelezo kutoka kwa Ofisa Mtafiti Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dkt. Mary Shetto, wakati walipokuwa wakitembelea Maonesho ya Mfumo wa Matokeo Makubwa Sasa Awamu ya Kwanza, baada ya kuyafungua rasmi leo katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es Salaam. Picha na OMR



RAIA MWEMA : MTWARA NI ZAIDI YA GESI

TOPE: UHUSIANO BILA KUKUTANA KIMWILI NI KUDANGANYANA TU

$
0
0

 

 

 

 


Muigizaji Tope Osoba amekataa kuwa na mahusiano bila ya kukutana kimwili, na kufunguka kwamba anashangazwa na wasanii wengi wa Tanzania na Nigeria ambao wamekuwa wakiolewa na wanaume zao na kuishi nje ya nchi kwa zaidi ya mwaka na hakuna kati yao aliyepata nafasi ya kumtembelea mwenzake.

 

 

 

“Ngono ni kitu cha kuburudishana kati ya wawili wapendanao. Ngono ni nzuri. Imeumbwa ili wapenzi wa-enjoy na kubadilishana siri za mioyo yao.” Alifunguka actress huyo.

 

 

 

Alipoulizwa kuhusu mapenzi kabla ya ndoa, Tope alisema: “Mapenzi kabla ya ndoa ni poa tu, al muradi usalama kwanza. kwanza tusidanganyane, hauwezi kudumisha uhusiano bila ngono.”

 

 

Alifafanua kuwa maisha ya namna hiyo hayapo na kama yapo yana kitu nyuma ya pazia kwa kuwa hakuna mwaminifu bila ya sababu ya msingi.Chanzo:mpekuziblog


REDD’S MISS MZIZIMA 2013 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

$
0
0

 

Miss Mzizima namba moja  Shamimu Mohamedi akipokea shilingi lakini tano kutoka kwa meneja wa Hotel ya Green Trees iliyopo Kigamboni.

Mshindi wa pili Munira Mabrouk akipokea kiasi cha shilingi laki tano kutoka Odhiambo ambaye ni  meneja msaidizi wa Hotel ya Green Trees

Mshindi wa tatu  Rehema Mpanda akipokea shilingi lakini Tatu  kutoka kwa mwenyekiti wa Miss Mzizima Sunday Apolo.

Mwalimu wa Miss Mzizima Linda akimkabidhi tano bora shilingi laki moja.

Rehema Mpanda na Mwenyekiti wakiwa katika pozi la pamoja.

Miss Mzizima  Shamimu Mohamed wakiwa akiwa katika pozi.

Wakiwa katika pozi la pamoja na Meneja wa Hoteli ya Green Trees.

Wakiserebuka

Wakiwa katika pozi la pamoja.              

Jana washindi wa Miss Mzizima 2013 walikabidhiwa zawadi zao  katika hoteli ya kisasa ya Green Trees iliyopo Kigamboni Tua Ngoma ambapo  mshindi wa kwanza alikabidhiwa shilingi lakini saba, mshindi wa pili alikabidhiwa shilingi laki Tano na watatu alikabidhiwa shilingi laki tatu  na wengine walipata laki moja moja.

Hbr picha : Imelda Mtema wa globalpublishers.info

 


Mwandishi wa riwaya Chinua Achebe azikwa kwa heshima zote nchini Nigeria.

$
0
0
achebe

Mamia ya watu akiwemo Rais Googluck Jonathan wa Nigeria wamehudhuria mazishi ya mwandishi maarufu wa riwaya Chinua Achebe  yaliyofanyika katika mji wa Ogidi kaskazini mwa Nigeria.

Viongozi wa serikali na wabunge walimsifu Achebe aliewapinga wanasiasa wala rushwa na mara mbili mwandishi huyo alikataa kupokea tuzo za heshima  za kitaifa.

Hayati Achebe aliinukia kupata umaarufu kutokana na riwaya yake inayoitwa “mambo yanasambaratika” iliyochapishwa mnamo mwaka 1958.

Riwaya hiyo ni fumbo juu ya jinsi jamii ya jadi barani Afrika ilivyokuwa inasambaratika kutokana na ujio wa wakoloni na ilifanikiwa kuuza nakala milioni nane duniani kote.

Riwaya ya “mambo yanasambaratika” ilifasiriwa katika lugha 50.

Watu wa Nigeria wamemwita Chinua Achebe kuwa ni tai aliepo juu ya mti wa Iroko.

 
 

 


STAR SPOTI: NYOTA 11 WATEMWA SIMBA

JOH MAKINI, STAMINA NA KALA JEREMIAH WAFANYA KUFURU DAR LIVE

$
0
0

Msanii Kala Jeremiah akiwarusha wapenzi wa burudani waliofurika Dar Live.

Joh Makini akiwapa raha wana Dar Live.

Stamina akipagawisha nyomi ndani ya Dar Live.

Nyomi iliyofurika ndani ya Dar Live.

Mkali wa ‘Dear God’ akizidi kuwapa raha mashabiki.

…Joh Makini akinata na beat.

…Stamina on the stage.

Wasanii wa Hip Hop wanaokimbiza hapa nchini, Kala Jeremiah, Stamina na Joh Makini usiku huu wamefanya kufuru ndani ya Dar Live baada ya kupagawisha nyomi iliyohudhuria Usiku wa Hip Hop na The Vodacom Mic King 2013. Wasanii hao wameporomosha burudani ya nguvu na kuzikonga nyoyo za mashabiki waliobaki midomo wazi wakati wasanii hao wakiwa stejini.

(PICHA NA DENNIS MTIMA /GPL)


Viongozi wa nchi wanachama wa AU kujadili changamoto zinazolikabili bara la Afrika

$
0
0

 

 
Na Flora Martin Mwano
 
Maadhimisho ya miaka hamsini ya Umoja wa Afrika AU yameendelea mjini Addis Ababa Ethiopia ambapo viongozi toka nchi wanachama wanashiriki katika mkutano wa umoja huo unaojadili changamoto mbalimbali zinazoikabili Afrika.
 
Mwenyekiti wa sasa wa Umoja wa Afrika AU, Nkosazana Dlamini-Zuma
 
Akifungua sherehe hizo siku ya jumamosi Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn aliwataka viongozi wa Afrika kuimarisha umoja huo kwa kupiga vita umasikini na migogoro inayoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya nchi wanachama.
 
Kwa upande wake Mwenyekiti wa AU Nkosazana Dlamini-Zuma amesisitiza kuwa migogoro inayolikabili bara hili itakomeshwa kwa mshikamano na umoja utakaoonyeshwa na wahusika.
 
Viongozi mashuhuri waliohudhuria sherehe hizo toka nje ya bara hili ni pamoja na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN Ban Ki-moon, Rais wa Ufaransa Francois Hollande, Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry, Naibu wa Waziri Mkuu wa China Wang Yang na Rais wa Brazili Dilma Rousseff.
 
Sherehe hizo pia zilishuhudia serikali ya Brazili ikiweka wazi mpango wa kutajka kusamehe madeni ya jumla ya dola za Marekani milioni mia tisa katika nchi kumi na mbili za Afrika, miongoni mwa nchi zitakazonufaika na msamaha ni Tanzania, Congo-Brazzaville na Zambia.
 


RAIS KIKWETE AKUTANA NA MARAIS WASTAAFU, AHUDHURIA KIKAO CHA AMANI DRC CONGO

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizingumza na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mzee Benjamin Mkapa na Waziri Mkuu Mstaafu na Katibu Mkuu wa Umoja wa Afrika Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim kuhusiana na sherehe za miaka 50 ya AU alipokutana nao jijini Addis Ababa, Ethiopia, leo  Mei 26, 2013. Viongozi hao wastaafu ni miongoni mwa wageni mashuhuri walioalikwa kwenye sherehe hizo.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na wanahabari baada ya kuhudhuria Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika leo Mei 26, 2016.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika  Mkutano wa Kanda wa Usimamizi wa Amani, Usalama na Ushirikiano katika DRC na nchi za Maziwa Makuu katika makao makuu ya Umoja wa Afrika leo Mei 26, 2016
(PICHA NA IKULU)


NIPASHE:MBUNGE WA MTWARA ATOA MSIMAMO

Waliofeli kidato cha nne waula, ufaulu sasa waongezeka

$
0
0

 

 

 
Dar es Salaam. Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu, Mwananchi limebaini.
 
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Joyce Ndalichako
 
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
 
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya ufaulu katika matokeo mapya.
 
Kwa matokeo hayo, watahiniwa wa mwaka 2012 watakuwa wamefanya vizuri kuliko wa mwaka 2011, ambao watahiniwa 225,126 sawa na asilimia 53.37 ya 349,390 waliofanya mtihani huo walifaulu.
 
Msemaji wa Necta, John Nchimbi alisema upangaji wa matokeo hayo ulikuwa bado unaendelea. “Ninachojua kwa sasa ni kuwa mchakato unaendelea na matokeo yatatangazwa mapema tu ili watoto waweze kujiunga na shule mapema,” alisema Nchimbi.
 

MIDUME YAGOMBEA KUMUOA WASTARA!

$
0
0

Na Imelda Mtema

TAKRIBAN  wiki moja baada ya kumaliza eda tangu alipofariki mumewe Juma Kilowoko ‘Sajuki’ Januari 2, mwaka huu, staa mkubwa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma anagombewa na midume ikitaka kumuoa.

Wastara Juma.

Akizungumza na ‘The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda akiwa nchini Oman, Wastara alifunguka kuwa tangu amalize eda yake hiyo amekuwa akipata usumbufu mkubwa kutoka kwa wanaume mitandaoni na wanaomtamkia mwenyewe.

“Jamani mpaka nahisi kuchanganyikiwa kabisa, wanaume zaidi ya mia tano hata…

 

 


Na Gladness Mallya
TUMUOMBEENI! staa wa Injili na filamu za Kibongo, Sara Mvungi ni mgonjwa anayesumbuliwa na vidonda vya tumbo na malaria ambavyo vimemfanya alazwe akiwa hoi.
Akizungumza na The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda kwa taabu wikiendi iliyopita kwenye Hospitali ya TMJ Mikocheni, jijini Dar alikokuwa amelazwa, Sarah alisema alianza kuugua siku tatu kabla ambapo alikuwa akitumia dozi ya malaria.
Alisema kuwa wakati akiwa kwenye dozi hiyo, hali ilizidi kuwa mbaya baada ya kupata homa kali ambapo alikimbizwa hospitalini hapo huku maradhi ya vidonda vya tumbo ya muda mrefu nayo yakimsumbua.
Akiwa hospitalini hapo, Ijumaa Wikienda lilimshuhudia Sara akiwa na ‘dripu’ ikimiminika kwa kasi kuingia mwilini ambapo alikiri kuwa mwanzoni alikuwa na hali mbaya lakini walau kwa sasa anaendelea vizuri.
“Kwa sasa namshukuru Mungu naendelea vizuri, nilikuwa siwezi kutembea hadi nishikwe mkono, vidonda vya tumbo vinaniuma sana na homa nayo inanisumbua kwa siku tatu sijaweza kufanya kazini,” alisema Sarah ambaye pia ni nesi.Chanzo:www.globalpublishers.info


MSIMU WA NANE WA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRICA WAZINDULIWA LEO, MAMBO YANOGA UKUMBI WA SAMAKI SAMAKI CITY CENTRE JIJINI DAR ES SALAAM!!

$
0
0

 

 

Uzinduzi wa shindano la Big Brother Africa umefanyika usiku huu katika ukumbi wa Samaki Samaki City Centre maeneo ya Posta jijini Dar es salaam ambapo wawakilishi wa tamasha hilo kutoka mataifa mbalimbali barani Afrika wamewekwa hadharani.

 

Uzinduzi huo umeoneshwa moja kwa moja na rununga ya DSTV huku Bi.Feza Kessiy na Ammy Nando wakitajwa kuwakilisha Tanzania katika msimu wa nane wa Big Brother Africa.

 

Kwa hapa Tanzania uzinduzi huo ulidhaminiwa na kampuni ya simu za mkonono ya Airtel ambapo wametoa zawadi mbalimbali zilizoshindaniwa na watu waliohudhuria katika zoezi hilo.

 

Burudani kubwa ya muziki ilitawala katika ukumbi huo ambapo wageni waalikwa wamefurahi pamoja kwa kula na kunywa.

 

SONY DSCKutoka kushoto ni Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya MultiChoice Tanzania,  Furaha Samalu, (katikati) meneja rasilimali watu wa Multi Choice Tike Mwakitwange,  wa kwanza kulia ni Meneja uhusiano wa Multi Choice  Barbara Kambogi wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Uzinduzi wa Big Brother Africa katika ukumbi wa Samaki Samaki City Centre maeneo ya Posta jijini Dar es salaam usiku wa leo SONY DSCMhudumua wa kampuni ya simu ya Airtel ambao ni wadhamini wa Uzinduzi wa Big Brother Africa mwaka huu (mwenye T-shirt nyekundu) akiwahudumia wateja wanaotaka kusajili namba zao pamoja na kujiunga na huduma ya Airtel Money wakati wa tamasha hilo SONY DSCMeneja uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (kulia) akizungumza na wageni waalikwa , waandishi wa habari kuhusu uzinduzi wa Big Brother Africa , pamoja na huduma za MultiChoice kwa wateja wake SONY DSCBalozi wa Airtel Tanzania, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya AY akikabidhi kadi ya mwaliko mara baada ya kuingia katika ukumbi wa Samaki Samaki City Centre SONY DSCWasanii kutoka Afrika kusini wakiburudisha watu katika runinga ya DSTV wakati wa uzinduzi wa Big Brother Africa leo katika ukumbi wa Samaki Samaki City Centre maeneo ya Posta jijini Dar es salaamSONY DSCWadau mbalimbali waliohudhuria uzinduzi huoSONY DSCWadau mbalimbali waliohudhuria katika uzinduzi huo wakifuatilia matangazo ya kituo cha televisheni cha DSTV kinachoonesha matangazo hayo moja kwa moja  SONY DSCMshindi wa zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy, bwana Dennis Fussi kutoka Magazeti ya Daily News na Habari Leo.  Zawadi hiyo imetolewa usiku huu kutoka kampuni ya simu za mkonono inayoongoza kutoa huduma bora ya Airtel katika Ukumbi wa Samaki Samaki City Centre maeneo ya Posta jijini Dar es salaam

 

Chanzo: Fullshangweblog

Viewing all 271 articles
Browse latest View live